

Mademu wa bongo muvie wamekua ni watu wa kujiachia sana na kujisahau linapokuja suala la kwenye scene za mapenzi, Je kama wewe ni mwanaume rijali uliekamilika unaangalia mchumba wako anashikwashikwa kimahaba na jidume lingine utajisikiaje? Angalia Uwoya kwenye Oprah au Rose Ndauka kwenye Clinic Love....dah ni aibu tupu.

0 comments:
Post a Comment