Pamoja na matusi yote ambayo
alishambuliwa na kudhalilishwa Msanii Prezzo na mpenzi wake Starlisha Tillya
al-maarufu CHAGGA BARBIE still ule msemo wa wagombanao ndio wapatanao
ulishika nafasi yake baada ya mwanadada wa Kitanzania ambaye anaishi Marekani
ameshindwa kumsahau mfalme mswati Prezzo nakuamua kupost picha ambayo aliandika
na maneno kadhaa ambayo yalidhihilisha kuwa wamerudiana kama
inavyoonekana hapo chini katika picha;
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment