MWIGIZAJI Kajala Masanja amekanusha vikali suala la kujipodoa badala yake amesema kiyoyozi cha nchini China kimeifanya ngozi yake ibadilike.
Kajala Masanja.
“Ngozi
yangu inabadilika na kuwa nzuri sana, China kunanipenda. Kiyoyozi
mwanzo mwisho lazima uwe mweupe,” alisema mwigizaji huyo.
0 comments:
Post a Comment