MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema anaamini kwa dalili alizoanza kuziona, mwaka huu utakuwa ni wa faraja kwake.


“Nimegundua wapi nilikosea na kwa kuwa nimeamua kumuabudu Mungu kikamilifu, naamini kila kitu kitakuwa sawa. Nimeingia kwenye wokovu nikiwa kama mtoto mchanga, naendelea kukomaa.
Yapo ambayo nilikosea kama vile kutumia mkorogo lakini mwaka mpya na mambo mapya,” alisema Mainda.
0 comments:
Post a Comment